Download "Grade 4 Rationalized Kiswahili Schemes of Work Term 2 2026 - Sahili" Instantly.
2241 views 118 downloads.
Summary
- Description:
The PDF document comprises Grade 4 Rationalized Kiswahili Term 2 Schemes of Work 2026 - Kisw Sahili.
This document provides a systematic framework for teaching Kiswahili language skills, encompassing reading, writing, speaking, and grammar lessons.
- Number of Weeks: 14 weeks (Coverage spans Weeks 1 to 14). Out of the 14 weeks, the missing weeks (Week 9 and Weeks 13-14) are dedicated to the short holiday (Likizo Fupi) and end-of-term examinations.
- Number of Lessons/Periods per Week: 4
It covers the following strands and sub-strands:
- Kusikiliza na kuzungumza (Weeks 1, 3, 5, 8)
- Heshima, Adabu na Vyeo: Maneno ya upole
- Kutambua na kutumia maneno ya upole katika mawasiliano
- Methali
- Kutambua na kutumia methali zinazohusu malezi na ushauri nasaha
- Kujieleza kwa ufasaha
- Kukariri shairi kwa kuzingatia matamshi na mahadhi mbalimbali
- Nahau: Nahau za maadili na uraia
- Kutambua na kutumia nahau za maadili na uraia katika mawasiliano
- Heshima, Adabu na Vyeo: Maneno ya upole
- Kusoma (Weeks 1, 3-4, 6, 8, 10, 12)
- Kusoma kwa mapana
- Kutambua matini na kufungua faili kwenye vifaa vya kidijitali
- Kuzingatia hatua za kiusalama na kuchagua matini yanayovutia
- Kusoma kwa ufahamu
- Kueleza maana ya shairi, ubeti na mshororo
- Kusoma na kuigiza mchezo mfupi kwa kuzingatia maelekezo
- Kusoma kwa kina
- Kusoma makala na kutambua umuhimu wa ujumbe
- Kusoma kwa mapana
- Kuandika (Weeks 2, 4, 6, 10, 13)
- Barua: Barua ya Kirafiki
- Kutambua na kuandika barua ya kirafiki kwa kuzingatia muundo
- Insha ya maelezo
- Kutambua vifungu vya maelezo na kuandaa vidokezo vya uandishi
- Insha ya wasifu
- Kutambua na kuandika insha ya wasifu kufuata kanuni zifaazo
- Insha ya masimulizi
- Kuandaa vidokezo na kuandika insha ya masimulizi
- Barua: Barua ya Kirafiki
- Sarufi (Weeks 2, 4, 7, 10-11, 13-14)
- Umoja na wingi wa nomino na sentensi katika ngeli ya U-I
- Kutambua, kuandika, na kuunda sentensi ukitumia ngeli ya U-I
- Ngeli za Nomino: Umoja na wingi wa Nomino katika Ngeli ya LI-YA
- Kutambua na kuandika nomino za matunda na viungo katika ngeli ya LI-YA
- Ngeli ya KI-VI
- Kutambua na kutumia nomino na sentensi katika ngeli ya KI-VI
- Ngeli ya LI-LI
- Kutambua na kuandika nomino katika ngeli ya LI-LI
- Visawe: Visawe vya maneno mawili
- Kueleza maana na kutambua visawe vya maneno mawili
- Mnyambuliko wa vitenzi
- Kutambua na kutumia vitenzi katika kauli za Kutenda, Kutendea, na Kutendwa
- Umoja na wingi wa nomino na sentensi katika ngeli ya U-I
- File Size:273.63 KB
- Length:14 pages
- Category:Schemes of Work
- Level:Grade 4
- Subject:KISWAHILI
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 60.00 Ksh 80.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue ShoppingAccess More Grade 4 Schemes of Work for Term 2 2026
Kiswahili
Grade 4 Kiswahili Term 2 Rationalized Schemes of Work 2026 (Oxford Kiswahili Dadisi)
Price: Ksh 60.00 Ksh 80.00