Download "Grade 5 Rationalized Kiswahili Schemes of Work Term 2 2026 - Dadisi" Instantly.

2162 views 114 downloads.

Summary

  • Description:

    The MS Word document comprises Grade 5 Rationalized Kiswahili Term 2 Schemes of Work 2026 - Kiswahili Dadisi. The PDF version is also available upon your request.

    This schemes of work provide comprehensive coverage of the Term 2 2026 Grade 5 Kiswahili syllabus.

    • Number of Weeks: 1-11 (Weeks 9 is dedicated to the mid-term break, and weeks 12-14 are dedicated to end of term 2 revisions and exam preparation and administration).
    • Number of Lessons/Periods per Week: 4.

    It covers the following strands and sub-strands:

    • Kusikiliza na kuzungumza
      • Matamshi bora: ushairi (Wiki 2-3)
        • Kukariri shairi kwa kuzingatia matamshi na mahadhi mbalimbali
        • Kueleza maana ya msamiati na kutambua msamiati wa maadili
      • Nahau za usafi na mazingira (Wiki 4-5)
        • Kutambua nahau za usafi na mazingira katika matini
        • Kufafanua maana ya nahau mbalimbali na kutunga sentensi
      • Visawe: visawe vya maneno matatu (Wiki 6-7)
        • Kutambua maneno yenye maana sawa katika kifungu
        • Kutunga sentensi akitumia visawe na kutumia kamusi
      • Mazugumzo katika miktadha rasmi (Wiki 8, 11)
        • Kutambua miktadha rasmi kunakotumiwa lugha rasmi
        • Kuigiza mazungumzo ya miktadha rasmi na kutambua nidhamu ya lugha
    • Kusoma
      • Kusoma kwa mapana: makala (Wiki 2-4)
        • Kutambua makala ya kusoma katika maktaba
        • Kusoma makala mbalimbali ili kujenga ufasaha wa lugha
      • Kusoma kwa Mapana: Matini (Wiki 3, 8, 11)
        • Kutambua na kusoma matini ili kufaidika na ujumbe
        • Kutoa muhtasari wa kile kilichosomwa kwenye matini
      • Mchezo wa kuigiza (Wiki 6-7)
        • Kutambua na kusoma mchezo mfupi wa kuigiza
        • Kueleza maana ya msamiati uliotumiwa katika mchezo wa kuigiza
    • Sarufi
      • Umoja na wingi wa nomino: ngeli ya u-ya (Wiki 2)
        • Kutambua nomino katika ngeli ya U-YA
        • Kuandika nomino za ngeli ya U-YA katika umoja na wingi
      • Umoja na wingi wa nomino: ngeli ya ku-ku (Wiki 4-5)
        • Kutambua na kuandika nomino katika ngeli ya KU-KU
        • Kupigia kistari viambishi vya ngeli KU-KU katika sentensi
      • Mnyambuliko wa vitenzi: kauli za kutendewa (Wiki 6)
        • Kutambua na kutumia vitenzi katika hali ya kutendewa
      • Mnyambuliko wa vitenzi: kauli za kutendeka (Wiki 6)
        • Kutambua na kutumia vitenzi katika hali ya kutendeka
      • Mnyambuliko wa vitenzi: kauli ya kutendana (Wiki 7)
        • Kutambua na kutumia vitenzi katika hali ya kutendana
      • Vinyume vya vitenzi (Wiki 10-11)
        • Kutambua vinyume vya vitenzi kwenye orodha na matini
        • Kuunda sentensi kwa kutumia vinyume vya vitenzi
    • Kuandika
      • Kuandika insha ya wasifu (Wiki 2-3)
        • Kutambua vipengele vya kimuundo vya insha za wasifu
        • Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo na mtindo ufaao
      • Kuandika insha ya maelezo (Wiki 4-5, 10)
        • Kutambua insha za maelezo katika matini mbalimbali
        • Kujadili mambo yanayoelezwa na kuchambua muundo wa insha ya maelezo
      • Kuandika insha za masimulizi (Wiki 7)
        • Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo
  • File Size:
    155.00 KB
  • Length:
    12 pages
  • Category:
    Schemes of Work
  • Level:
    Grade 5
  • Subject:
    KISWAHILI
  • Posted By:
    Caleb_Peter

Pay Ksh 60.00 Ksh 80.00 to Download PDF

Enter your details below to initiate a payment using MPESA.

Please fill out this field.
Looks good!
Looks good (optional field)!
Attachments can be downloaded immediately after purchase, and a copy will also be sent to your provided email.

🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!

Continue Shopping

Access More Grade 5 Schemes of Work for Term 2 2026

0