Download "Grade 10 Kiswahili Lugha Term 3 Schemes of Work 2026" Instantly.
40 views 2 downloads.
Summary
- Description:
The MS Word document comprises Grade 10 Kiswahili Lugha Term 3 Schemes of Work 2026. The PDF version is also available upon your request. The schemes of work were generated using the updated KICD-approved curriculum design and hence can be used with any KICD-approved book.
This schemes of work provides comprehensive coverage of the Term 3 2026 Grade 10 Kiswahili Lugha syllabus.
- Number of Weeks: 9
- Number of Lessons per Week: 5
- Mid Term Break Week: Week 7 (7 Oktoba 2026 – 11 Oktoba 2026)
It covers the following strands and sub-strands:
- 8.0 Jinsia na Taaluma
- 8.1.1 Kuzungumza kwa Ufasaha: Ushawishi
- Kueleza maana na miktadha ya uzungumzaji wa kushawishi katika jamii
- Kutafiti na kuchanganua kanuni za kushawishi kupitia video za uzungumzaji
- Kuandaa na kuwasilisha matini ya kushawishi kuhusu suala la jinsia na taaluma
- 8.2.1 Ufupisho: Kifungu cha kupasha habari
- Kueleza umuhimu na hatua za kufuata wakati wa kufupisha kifungu cha habari
- Kudondoa na kupanga hoja kuu kutoka katika vifungu vya jinsia na taaluma
- Kuhariri msawada na kuandika nakala safi kulingana na idadi ya maneno
- 8.3.1 Uandishi wa Kiubunifu: Masimulizi kutokana na picha
- Kutambua ujumbe na mfululizo wa matukio katika picha mbalimbali
- Kuandaa vidokezo, muundo (utangulizi, mwili, hitimisho), na msamiati wa insha ya picha
- Kuandika na kusahihisha insha za masimulizi kutokana na picha
- 8.4.1 Vinyume: Nomino, Vitenzi, Vivumishi, Vihusishi
- Kutambua na kutumia vinyume vya nomino (kulingana na jinsia/umri) na vitenzi
- Kubainisha vinyume vya vivumishi vya sifa/idadi na vihusishi vya mahali/wakati
- Kutunga na kuhariri vifungu vifupi vinavyojumuisha aina mbalimbali za vinyume
- 8.1.1 Kuzungumza kwa Ufasaha: Ushawishi
- 9.0 Kuheshimu Tamaduni za Wengine
- 9.1.1 Usikilizaji Husishi
- Kueleza maana, umuhimu, na kanuni za usikilizaji husishi katika mawasiliano
- Kutambua viziada lugha, ishara, na kufasiri hisia/mtazamo wa mzungumzaji
- 9.2.1 Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
- Kuchagua na kusoma matini za kijichagulia kuhusu kuheshimu tamaduni
- Kudondoa msamiati mpya, kutumia kamusi, na kuandika shajara za usomaji
- 9.3.1 Insha za Kiubunifu: Insha fafanuzi
- Kueleza sifa na muundo wa insha fafanuzi ya matatizo na utatuzi
- Kuandaa vidokezo vya matatizo ya kitamaduni na kuandika/kuhariri insha fafanuzi
- 9.4.1 Aina za Sentensi: Sahili, Ambatano na Changamano
- Kutambua muundo na sifa za sentensi sahili, ambatano (viunganishi), na changamano (rejeshi)
- Kugeuza sentensi kutoka aina moja hadi nyingine na kuchanganua vishazi
- 9.1.1 Usikilizaji Husishi
- 10.0 Huduma ya Kwanza
- 10.1.1 Kusikiliza kwa Kuhakiki: Matini ya kusikiliza
- Kutofautisha kati ya taarifa za ukweli halisi na maoni ya kibinafsi
- Kuhakiki na kuwasilisha tahakiki ya matini za kusemwa kuhusu huduma ya kwanza
- 10.2.1 Kusoma kwa Kina: Mbinu ya kuduhushi
- Kueleza hatua za usomaji wa kuduhushi na kupata maneno makuu kwa haraka
- Kudondoa msamiati maalum wa afya kupitia vifungu vya huduma ya kwanza
- 10.3.1 Tafsiri
- Kueleza umuhimu na hatua za kufuata wakati wa kutafsiri matini
- Kutafsiri na kuhariri vifungu kutoka Kiingereza hadi Kiswahili sanifu
- 10.4.1 Isimujamii: Sajili na kaida za matumizi ya lugha
- Kufafanua kaida za matumizi ya lugha kulingana na mada, umri, cheo, na mazingira
- Kutambua sifa za kilugha katika sajili ya shuleni, biashara, dini, michezo, hospitalini, na hotelini
- 10.1.1 Kusikiliza kwa Kuhakiki: Matini ya kusikiliza
- File Size:31.67 KB
- Length:16 pages
- Category:Schemes of Work
- Level:Grade 10
- Subject:KISWAHILI
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 75.00 Ksh 90.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue ShoppingAccess More Grade 10 Schemes of Work for Term 3 2026
Kiswahili
Grade 10 Kiswahili Lugha Term 3 Schemes of Work 2026 - Oxford Kiswahili Fasaha
Price: Ksh 80.00 Ksh 90.00
Kiswahili
Grade 10 Kiswahili Lugha Term 3 Schemes of Work 2026 - Akili Pevu
Price: Ksh 80.00 Ksh 90.00