Download "Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Term 3 Schemes of Work 2026" Instantly.
144 views 6 downloads.
Summary
- Description:
The MS Word document comprises Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Term 3 Schemes of Work 2026. The PDF version is also available upon your request. The schemes of work were generated using the updated KICD-approved curriculum design and hence can be used with any KICD-approved book.
This schemes of work provides comprehensive coverage of the Term 3 2026 Grade 10 Fasihi ya Kiswahili syllabus.
- Number of Weeks: 7
- Number of Lessons per Week: 5
It covers the following strands and sub-strands:
- Ushairi
- Uchambuzi wa Mashairi - Mtindo
- Kueleza maana, kutambua, na kueleza umuhimu wa misemo katika mashairi
- Kutambua na kueleza umuhimu wa nahau kama kipengele cha mtindo
- Kutambua chuku na tathmini ya mtindo katika diwani teule
- Uchambuzi wa Mashairi - Uhuru wa Kishairi
- Kueleza maana na kutambua inkisari na mazida katika mashairi
- Kueleza na kutambua tabdila na kuboronga sarufi
- Kutambua na kueleza umuhimu wa lahaja, utohozi, na lugha ya kale
- Uchambuzi wa jumla wa mashairi kwa kuzingatia uhuru wa kishairi
- Utunzi wa Mashairi
- Kutambua na kujadili vipengele na hatua za utunzi wa mashairi
- Utunzi wa ubeti na mashairi kwa kuzingatia hatua za utunzi
- Kutathmini, kurekebisha, kuhifadhi, na kuwasilisha mashairi yaliyotungwa
- Uchambuzi wa Mashairi - Mtindo
- Bunilizi na Kazi za Kihalisia
- Uchambuzi wa Hadithi Fupi
- Kueleza maana na kuchambua maudhui na dhamira katika hadithi fupi
- Kutambua, kuchambua, na kujadili usawiri na uhalisia wa wahusika
- Kujadili mandhari, muundo, na mtindo katika hadithi fupi teule
- Kufafanua umuhimu wa vipengele, uchambuzi wa jumla, na kuigiza sehemu za hadithi fupi
- Utunzi wa Bunilizi na Kazi za Kihalisia
- Kutambua na kujadili vipengele na hatua za utunzi wa bunilizi
- Kutunga bunilizi fupi na tawasifu kwa kuzingatia hatua za utunzi
- Kutathmini, kurekebisha, kuhifadhi kwenye potifolio, na kuwasilisha kazi zilizotungwa
- Uchambuzi wa Hadithi Fupi
- Fasihi Simulizi
- Uchanganuzi wa Ushairi - Maghani
- Kueleza maana, sifa, na aina za maghani ya kawaida (majigambo, pembezi, na tondozi)
- Kutafiti kuhusu maghani katika jamii na kuandika ripoti ya utafiti
- Utafiti wa Fasihi Simulizi
- Kupambanua na kulinganisha aina za utafiti (utafiti wa maktabani na nyanjani)
- Kufanya utafiti wa maktabani, kukusanya data, na kuwasilisha matokeo ya utafiti
- Uchanganuzi wa Ushairi - Maghani
- File Size:44.35 KB
- Length:9 pages
- Category:Schemes of Work
- Level:Grade 10
- Subject:Kiswahili Fasihi
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 75.00 Ksh 90.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue Shopping