Download "Grade 1 Rationalized Kiswahili Language Activities Term 2 Records of Work 2026 (Kiswahili Mazoezi ya Lugha)" Instantly.
160 views 8 downloads.
Summary
- Description:
The MS Word document comprises Grade 1 Rationalized Kiswahili Term 2 Records of Work 2026 - Kiswahili Mazoezi ya Lugha. The PDF version is also available upon your request.
This records of work facilitate a systematic approach to teaching foundational Kiswahili literacy skills for Grade 1 learners in the second term.
- Number of Weeks: The document outlines lessons for weeks 2 to 13. Out of the 14 weeks, the missing weeks (1, 8, and 14) are dedicated for mid-term break or end of term 2 revisions and exam preparation and administration.
It covers the following strands and sub-strands:
- Siku za wiki (Covered in Week 2)
- Kuskiliza na Kuzungumza (Hadithi / Hotelini)
- Kutambua herufi na kutamka sauti lengwa.
- Kusoma silabi za jedwali na kuunda maneno halisi.
- Kuandika umoja na wingi wa maneno kwa hati nadhifu.
- Kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimu, kujadili picha, kutabiri, na kujadili msamiati mpya.
- Kuskiliza na Kuzungumza (Hadithi / Hotelini)
- Mimi na wenzangu (Covered in Weeks 3 to 5)
- Kuskiliza na Kuzungumza (Sauti na majina ya herufi, Msamiati, Sarufi, Kusoma, Kuandika)
- Kutambua sauti na majina ya herufi zilizofunzwa.
- Kusoma silabi na maneno, na kujadili maana ya msamiati kutunga sentensi.
- Kusoma hadithi, kujibu maswali, na kutabiri kupitia picha.
- Kutambua na kueleza matumizi ya viwakilishi '-angu' na '-etu' katika sentensi.
- Kuandika alama ya kikomo na kuandika sentensi/maneno kwa hati nadhifu.
- Kuskiliza na Kuzungumza (Sauti na majina ya herufi, Msamiati, Sarufi, Kusoma, Kuandika)
- Mwili wangu (Covered in Weeks 6 to 9)
- Kuskiliza na Kuzungumza (Sauti na majina ya herufi, Kusoma, Sarufi, Msamiati, Kuandika)
- Kusoma maneno na vifungu kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa.
- Kutambua msamiati uliotumika kwenye hadithi na kuuandika.
- Kutambua na kutumia vivumishi '-zuri' na '-baya' katika sentensi.
- Kusikiliza hadithi ya mwalimu, kujibu maswali, na kuandika maneno yenye silabi tatu.
- Kuskiliza na Kuzungumza (Sauti na majina ya herufi, Kusoma, Sarufi, Msamiati, Kuandika)
- Usafi wa mwili (Covered in Weeks 10 to 13)
- Kuskiliza na Kuzungumza, Kusoma, Sarufi, Kuandika, Hadithi
- Kusoma hadithi mbalimbali kama vile 'Adidi na Baba Sokoni', 'Yakobo na Kanini', na 'Waya wawaka moto'.
- Kutambua msamiati wa usafi na kuutumia kwenye sentensi.
- Kukanusha maneno au sentensi mbalimbali.
- Kuandika sentensi zinazojumuisha matumizi ya viashiria 'huyu' na 'hawa'.
- Kuchora vifaa vya usafi na kujaza mapengo.
- Kuskiliza na Kuzungumza, Kusoma, Sarufi, Kuandika, Hadithi
- File Size:37.33 KB
- Length:11 pages
- Category:Records of Work
- Level:Grade 1
- Subject:KISWAHILI LANGUAGE ACTIVITIES
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 70.00 Ksh 90.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue Shopping