Download "Grade 1 Rationalized Kiswahili Language Activities Term 2 Records of Work 2026 (Oxford Kiswahili Dadisi)" Instantly.
312 views 16 downloads.
Summary
- Description:
The MS Word document comprises Grade 1 Rationalized Kiswahili Term 2 Records of Work 2026 - Kiswahili Dadisi. The PDF version is also available upon your request.
This records of work present an engaging and well-structured plan for teaching Kiswahili language skills, focusing on themes relevant to a Grade 1 learner's daily life.
- Number of Weeks: The provided records span weeks 1 through 12. Out of the 14 weeks, the missing weeks (6, 13, and 14) are either dedicated for mid-term break or end of term 2 revisions and exam preparation and administration.
It covers the following strands and sub-strands:
- FAMILIA (Covered in Weeks 1 to 2)
- Kusoma: Hadithi
- Kusikiliza na kufahamu hadithi zinazohusu familia zikisomwa na mwalimu.
- Kujadili picha, kutabiri matukio, na kuthibitisha utabiri baada ya kusomewa.
- Kutambua, kueleza, na kutumia msamiati wa familia kuunda sentensi.
- Kutoa muhtasari wa hadithi na kueleza shughuli za mchezo.
- Sarufi: Kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika (Nafsi ya kwanza wakati uliopo)
- Kutambua na kutumia maneno yanayoonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo.
- Kufahamu na kutumia hali ya umoja na wingi katika nafsi ya kwanza.
- Kusoma kifungu 'Muma mwoga' na kujibu maswali ya ufahamu.
- Kuigiza na kuandika vifungu vinavyoashiria nafsi ya kwanza wakati uliopo.
- Kusoma: Hadithi
- MWILI WANGU (Covered in Weeks 3 to 9)
- Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika: Sauti na majina ya herufi za Kiswahili (/n/, /o/, /t/, /l/)
- Kutamka, kutambua, na kusoma herufi na sauti lengwa katika maneno na vifungu.
- Kuimba na kuigiza nyimbo zinazohusu sehemu za mwili.
- Kuambatanisha silabi kusoma majina ya sehemu za mwili.
- Kuandika na kufinyanga maumbo ya herufi hewani na vitabuni.
- Msamiati
- Kutambua, kusoma, na kuandika majina ya sehemu za mwili na kueleza umuhimu wake.
- Kuambatanisha kadi za maneno na michoro ya sehemu za mwili za nje.
- Kusikiliza masimulizi kwenye tarakilishi na kutunga sentensi.
- Masimulizi
- Kusimulia visa, kuigiza, na kukariri mashairi kuhusu sehemu za mwili.
- Kuunda chati inayoonyesha sehemu za mwili za nje.
- Sarufi: Umoja na wingi wa majina
- Kutambua, kutumia, na kuandika majina ya sehemu za mwili katika umoja na wingi.
- Kujaza mapengo na kubadilisha majina kwenye sentensi kulingana na umoja au wingi.
- Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika: Sauti na majina ya herufi za Kiswahili (/n/, /o/, /t/, /l/)
- USAFI WA MWILI (Covered in Weeks 9 to 12)
- Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika (Sauti na majina ya herufi za Kiswahili /w/, /e/, /h/, /i/)
- Kutamka na kusoma herufi lengwa na kuunda silabi kwa kutumia irabu.
- Kusoma hadithi na vifungu vilivyo na maneno yenye sauti lengwa.
- Kutenganisha silabi na kuandika imla ya maneno.
- Msamiati
- Kutambua msamiati wa usafi kwenye kadi za maneno na michoro.
- Kuimba nyimbo na kukariri mashairi yanayohimiza usafi wa mwili.
- Kutaja vifaa vinavyotumika katika usafi na matumizi yake.
- Masimulizi na Kusoma hadithi
- Kusimulia visa na kuigiza vitendo vya usafi kama vile kunawa mikono.
- Kujibu na kuuliza maswali yanayotokana na hadithi na mashairi.
- Kusikiliza hadithi, kutabiri, na kuthibitisha utabiri kuhusiana na usafi wa mwili.
- Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika (Sauti na majina ya herufi za Kiswahili /w/, /e/, /h/, /i/)
- File Size:37.83 KB
- Length:11 pages
- Category:Records of Work
- Level:Grade 1
- Subject:KISWAHILI LANGUAGE ACTIVITIES
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 70.00 Ksh 90.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue Shopping