Download "Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Term 2 2026 Lesson Plans" Instantly.

240 views 15 downloads.

Summary

  • Description:

    The MS Word document comprises Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Term 2 Lesson Plans 2026. The PDF version is also available upon your request. These lesson plans were generated using the updated KICD-approved curriculum design and hence can be used with any KICD-approved book.

    This lesson plans provide comprehensive coverage of the Term 2 2026 Grade Fasihi ya Kiswahili syllabus.

    • Number of Lessons per Week: 5
    • End of Term Exams and Assessments: Wiki ya mwisho ya muhula

    It covers the following strands and sub-strands:

    • 2.0 Fasihi Simulizi
      • 2.2 Uchambuzi wa Mashairi
        • Kufafanua maana ya mashairi ya arudhi na mashairi huru
        • Kutambua sifa za mashairi ya arudhi (vina, mizani, beti, mishororo)
        • Kutambua sifa za mashairi huru na uhuru wa kishairi
        • Kulinganisha muundo na matumizi ya lugha katika aina mbili za mashairi
        • Kuthamini mchango wa mashairi katika jamii (kuburudisha, kuelimisha)
        • Kuchambua muundo wa kimisimbo na lafudhi ifaayo
        • Kutambua urari wa sauti kupitia vina na mizani
        • Kuchambua maudhui (ujumbe) na dhamira (nia ya mtunzi) katika shairi
        • Kutathmini thamani ya ujumbe kwa vijana na jamii
        • Kubainisha mbinu za lugha (chuku, takriri, nidida)
    • Tamthilia na Semi
      • Tamthilia
        • Kurejelea maudhui na masuala yanayoikumba jamii katika tamthilia
        • Kufanya majadiliano ya vikundi kuhusu usaliti na mapenzi
      • Semi
        • Kuainisha tanzu za semi (nahau, vitendawili, misemo, methali)
        • Muktadha sahihi wa matumizi ya semi kutegemea lengo la mzungumzaji
        • Mazoezi ya uandishi na utunzi kwa kutumia semi
      • Methali
        • Kufafanua methali kama kauli zenye hekima na maana iliyofichika
        • Tofauti kati ya maana ya juu na maana ya ndani ya methali
        • Matumizi ya methali katika kuonya, kushauri, kufariji, na kukosoa
        • Jukumu la methali katika kulinda maadili ya jamii
    • Bunilizi na Kazi za Kihalisia (Riwaya)
      • Uchambuzi wa Riwaya
        • Ufafanuzi wa riwaya kama kazi andishi ya kubuni na sifa zake
        • Kuchambua mada nyingi katika riwaya (umaskini, elimu, usaliti)
        • Jukumu la riwaya katika kuelimisha na kuonya jamii
        • Vipengele vya mtindo: matumizi ya nafsi na msamiati
        • Mchango wa wahusika makuu na wasaidizi katika kukuza ploti
        • Vipengele vikuu: ploti, maudhui, wahusika, mazingira, na mtindo
        • Hatua za ploti: utangulizi, mgogoro, kilele, na suluhisho
        • Mazingira ya jiografia (mahali) na wakati (historia)
        • Kutofautisha mada na ujumbe (funzo kwa msomaji)
    • Marudio na Maandalizi ya Mitihani
      • Dhana kuu za Fasihi Simulizi na Andishi
      • Uchambuzi wa dondoo (extracts) na maswali mahususi
      • Mbinu za kujibu maswali ya fasihi (kueleza, kufafanua, kutathmini)
      • Usimamizi wa muda na muundo kamili wa karatasi ya mtihani
  • File Size:
    126.62 KB
  • Length:
    102 pages
  • Category:
    Lesson Plans
  • Level:
    Grade 10
  • Subject:
    KISWAHILI FASIHI
  • Posted By:
    Caleb_Peter

Pay Ksh 90.00 Ksh 115.00 to Download PDF

Enter your details below to initiate a payment using MPESA.

Please fill out this field.
Looks good!
Looks good (optional field)!
Attachments can be downloaded immediately after purchase, and a copy will also be sent to your provided email.

🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!

Continue Shopping
0