Download "Grade 8 Rationalized Kiswahili Notes Complete Term 1, 2, and 3" Instantly.
6952 views 310 downloads.
Summary
- Description:
The PDF document comprises Grade 8 Rationalized Kiswahili Notes Complete Term 1, 2, and 3. The MS Word version (editable) is also available upon your request.
It covers the following topics:
- Mada ya 1: Usafi wa Sehemu za Umma
- Kusikiliza na Kuzungumza: Mahojiano (Dhana, aina, na vipengele vya kuzingatia).
- Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi (Msamiati wa usafi na kudondoa habari).
- Kuandika: Viakifishi (Alama ya Hisi na Ritifaa).
- Sarufi: Viwakilishi (Viwakilishi vya Nafsi, Vionyeshi, na Idadi).
- Mada ya 2: Matumizi Yafaayo ya Dawa
- Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi Bora (Sauti /g/ na /gh/).
- Kusoma: Kusoma kwa Mapana (Kuchagua matini na mbinu za kuelewa).
- Kuandika: Barua ya Kirafiki (Barua ya Shukrani - Muundo na kielelezo).
- Sarufi: Viwakilishi (Viwakilishi vya Sifa, Pekee, na Viulizi).
- Mada ya 3: Dhiki Zinazokumba Wanyama
- Kusikiliza na Kuzungumza: Mighani (Maana, sifa, na uwasilishaji).
- Kusoma: Kusoma kwa Kina (Tamthilia - Sifa na uchambuzi).
- Kuandika: Insha ya Masimulizi (Kujenga wazo moja kuu katika aya).
- Sarufi: Viwakilishi (Vimilikishi na Visisitizi).
- Mada ya 4: Matumizi Bora ya Maliasili
- Kusikiliza na Kuzungumza: Visasili (Dhana, sifa, na mfano).
- Kusoma: Kusoma kwa Ufasaha (Kasi, matamshi, sauti, na viakifishi).
- Kuandika: Insha za Kubuni (Masimulizi - Mbinu za lugha, wahusika, na mandhari).
- Sarufi: Nyakati na Hali (Hali ya Mazoea na Hali Timilifu).
- Mada ya 5: Majukumu ya Kijinsia
- Kusikiliza na Kuzungumza: Kusikiliza Maagizo (Sifa na mbinu za kusikiliza).
- Kusoma: Kusoma kwa Ufahamu (Mikakati na msamiati wa kijinsia).
- Kuandika: Insha ya Maelekezo (Muundo na mfano).
- Sarufi: Nyakati na Hali (Wakati Uliopita Hali Timilifu na Wakati Ujao Hali Timilifu).
- Mada ya 6: Usalama Nyumbani
- Kusikiliza na Kuzungumza: Maigizo (Dhana na vipengele vya uigizaji).
- Kusoma: Kusoma kwa Kina (Tamthilia - Uchambuzi wa Maudhui na Dhamira).
- Kuandika: Insha ya Mdokezo (Kumalizia au kuanzia kisa).
- Sarufi: Nyakati na Hali (Wakati Uliopita Hali ya Kuendelea na Wakati Ujao Hali ya Kuendelea).
- Mada ya 7: Afya na Ukuzaji wa Vipaji
- Kusikiliza na Kuzungumza: Hotuba (Aina, muundo, na sifa za mzungumzaji bora).
- Kusoma: Mashairi (Tofauti ya Mashairi Huru na Mashairi ya Arudhi).
- Kuandika: Barua Rasmi (Sifa, muundo, na kielelezo).
- Sarufi: Hali ya Masharti (Kiambishi -NGE- na -NGALI-).
- Mada ya 8: Uhalifu wa Mtandaoni
- Kusikiliza na Kuzungumza: Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo (Mbinu na umuhimu).
- Kusoma: Kusoma kwa Kina (Tamthilia - Mandhari na Ploti).
- Kuandika: Viakifishi (Alama za Mtajo na Mshazari).
- Sarufi: Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi (Ngeli ya I-ZI na I-I).
- Mada ya 9: Majukumu ya Mnunuzi
- Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi Bora (Sauti /ch/ na /sh/).
- Kusoma: Kusoma kwa Ufahamu (Kifungu cha Kushawishi).
- Kuandika: Insha za Kubuni (Masimulizi - Kujenga na kukuza wazo).
- Sarufi: Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi (Ngeli ya U-U na U-YA).
- Mada ya 11: Haki za Watoto
- Kusikiliza na Kuzungumza: Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja.
- Kusoma: Kusoma kwa Mapana (Malengo na mikakati).
- Kuandika: Insha ya Maelezo (Sifa na muundo).
- Sarufi: Mnyambuliko wa Vitenzi (Kauli ya Kutendeka, Kutendewa, na Kutendatenda).
- Mada ya 12: Magonjwa Yasiyoambukizwa
- Kusikiliza na Kuzungumza: Kusikiliza kwa Makini (Dhana na mbinu).
- Kusoma: Kusoma kwa Ufasaha (Matini ya Afya).
- Kuandika: Hotuba ya Kutoa Ufafanuzi.
- Sarufi: Sentensi Changamano (Viunganishi na utambuzi).
- Mada ya 13: Heshima kwa Tamaduni za Wengine
- Kusikiliza na Kuzungumza: Hadithi (Uchambuzi wa Wahusika).
- Kusoma: Kusoma kwa Kina (Tamthilia - Mbinu za Lugha).
- Kuandika: Insha ya Maelezo (Kuhusu Mahali).
- Sarufi: Ukanushaji (Kukanusha Hali ya Mazoea na Hali Timilifu).
- Mada ya 14: Kuweka Akiba
- Kusikiliza na Kuzungumza: Hadithi (Matumizi ya Lugha kama tanakali, tashbihi, methali).
- Kusoma: Kusoma kwa Ufahamu (Kifungu cha Mjadala na uchambuzi wa mitazamo).
- Kuandika: Insha ya Maelekezo (Hatua kwa hatua).
- Sarufi: Udogo wa Nomino (Kanuni na matumizi).
- Mada ya 15: Maadili ya Kijamii
- Kusikiliza na Kuzungumza: Usikilizaji Husishi.
- Kusoma: Ufupisho (Hatua za kuandika ufupisho bora).
- Kuandika: Baruapepe ya Kiofisi (Sifa na muundo).
- Sarufi: Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa.
- Mada ya 1: Usafi wa Sehemu za Umma
- File Size:2.37 MB
- Length:212 pages
- Category:Lesson Notes
- Level:Grade 8
- Subject:KISWAHILI
- Posted By:Caleb_Peter
Pay Ksh 120.00 Ksh 150.00 to Download PDF
Enter your details below to initiate a payment using MPESA.
🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!
Continue Shopping