Download "Grade 6 Rationalized Kiswahili Notes Complete Term 1, 2, and 3" Instantly.

7726 views 294 downloads.

Summary

  • Description:

    The PDF document comprises Grade 6 Rationalized Kiswahili Notes Complete Term 1, 2, and 3. The MS Word version (editable) is also available upon your request.

    It covers the following topics:

    • Mada ya 1: Viungo vya Mwili vya Ndani
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi Bora (Sauti d/nd, ch/sh, j/nj, g/ng) na Vitanzandimi.
      • Kusoma kwa Ufahamu: Viungo Muhimu vya Ndani (Moyo, Mapafu, Ini, Figo, Ubongo) na kazi zake.
      • Kuandika: Insha ya Wasifu (Muundo, mambo ya kuzingatia, na mfano).
      • Sarufi: Vivumishi vya Sifa (Sifa za kimaumbile na kitabia) na Upatanisho wa Kisarufi.
    • Mada ya 2: Michezo
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Maamkuzi na Maagano (Kulingana na wakati, heshima, na rika).
      • Kusoma: Kusoma kwa Kina na Matumizi ya Kamusi (Mpangilio wa abjadi na msamiati wa michezo).
      • Kuandika: Insha za Masimulizi (Muundo, taharuki, na ubunifu).
      • Sarufi: Vivumishi vya Idadi, Vivumishi Viulizi (-pi, gani), na Kivumishi Kirejeshi (Amba-).
    • Mada ya 3: Mahusiano
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Vitendawili (Muundo wa kutega/kutegua na uchambuzi wa vitendawili).
      • Kusoma: Kusoma kwa Ufasaha (Kasi, usahihi, kiimbo, na ishara).
      • Kuandika: Kuandika kwa Tarakilishi (Mitindo ya maandishi: Koza, Italiki, Kupigia mstari).
      • Sarufi: Viwakilishi (Nafsi, Viashiria vya Mahali, Idadi) na Uakifishaji.
    • Mada ya 4: Misimu
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Heshima, Adabu na Vyeo (Vyeo vya Kidini, Serikali, na Kijamii).
      • Kusoma: Kusoma kwa Mapana (Matini za Kidijitali na Usalama wa Mtandaoni).
      • Kuandika: Barua Rasmi (Muundo, tofauti na barua ya kirafiki, na kielelezo).
      • Sarufi: Ngeli ya YA-YA (Nomino za majimaji/wingi na upatanisho).
    • Mada ya 5: Mshikamano wa Kitaifa
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Methali za Umoja na Ushirikiano (Maana ya ndani na matumizi).
      • Kusoma: Ushairi (Dhana ya Ukwapi na Utao, na aina za mashairi: Tathnia, Tathlitha, Tarbia).
      • Kuandika: Insha za Maelezo (Muundo, mbinu za lugha, na kielelezo).
      • Sarufi: Ngeli ya U-U (Nomino za dhahania na upatanisho).
    • Mada ya 6: Usawa wa Kijinsia
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Matamshi Bora ya Sauti Tatanishi na Ushairi wa Usawa.
      • Kusoma: Kusoma kwa Kina (Kuchagua makala maktabani na matumizi ya kamusi).
      • Kuandika: Insha ya Wasifu (Wasifu wa mtu mwingine na mpangilio wa matukio).
      • Sarufi: Ngeli ya I-I (Nomino maalum kama chumvi, sukari, chai, miwani).
    • Mada ya 7: Majanga na Jinsi ya Kuyazuia
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Nahau za Kazi na Ushirikiano.
      • Kusoma: Kusoma kwa Mapana (Aina za majanga na mbinu za kuchagua matini).
      • Kuandika: Insha za Maelezo (Kuhusu kuzuia majanga na matumizi ya sauti ya mamlaka).
      • Sarufi: Ngeli ya PA-KU-MU (Mahali mahususi, kwingi, na ndani).
    • Mada ya 9: Afya ya Akili
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Mazungumzo ya Kimuktadha (Lugha Rasmi na Isiyo Rasmi).
      • Kusoma: Kusoma kwa Mapana (Msamiati wa afya ya akili kama sonona, msongo wa mawazo).
      • Kuandika: Insha ya Maelezo (Athari za msongo wa mawazo na mpangilio wa hoja).
      • Sarufi: Vinyume vya Vivumishi.
    • Mada ya 10: Kukabiliana na Ugaidi
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Sitiari za Tabia (Matumizi ya majina ya wanyama kuelezea tabia).
      • Kusoma: Usalama Mtandaoni na Ugaidi (Kutambua tovuti salama na ulinzi wa nywila).
      • Kuandika: Insha ya Masimulizi (Kujenga taharuki na usalama).
      • Sarufi: Hali ya Masharti (KI, NGE, NGALI) na Ukanushaji wake.
    • Mada ya 11: Ushuru
      • Kusikiliza na Kuzungumza: Kujieleza kwa Ufasaha (Usimulizi wa visa na sifa za msimulizi bora).
      • Kusoma: Kusoma kwa Ufasaha (Kasi, usahihi, na kiimbo).
      • Kuandika: Barua Rasmi (Marudio ya muundo na kielelezo cha kuomba msamaha).
      • Sarufi: Ukanusho wa Hali ya Masharti na Ukubwa na Udogo wa Nomino.
  • File Size:
    2.14 MB
  • Length:
    183 pages
  • Category:
    Lesson Notes
  • Level:
    Grade 6
  • Subject:
    KISWAHILI
  • Posted By:
    Caleb_Peter

Pay Ksh 120.00 Ksh 150.00 to Download PDF

Enter your details below to initiate a payment using MPESA.

Please fill out this field.
Looks good!
Looks good (optional field)!
Attachments can be downloaded immediately after purchase, and a copy will also be sent to your provided email.

🛒 Save Time! Add this item to your cart, shop more, and pay for everything at once—quick, easy, and hassle-free!

Continue Shopping
0